Friday, February 25, 2011

DE ROSSI....PEKEE KASHINDWA KUWA SILIASI!

Mchezaji wa timu ya Taifa ya Italia, De Rossi.....katika tangazo maalum kwenye kombe la dunia huko Afrika ya kusini, ndiye pekee uzalendo ulimshinda katika kukaa kimya ( kuwa na uso wa siliasi). Alishindwa kabisa, kwa kutaniwa na wenzake kicheko kilimwijia tu!. Kazi kweli kweli kukaa kimya kama hujazoea.

No comments:

WATEMBELEAJI