Monday, February 28, 2011

HALI HALISI NDIO HII.......TANZANIA!

Wananchi wakiwa wananing'inia juu ya mizigo iliyopakiwa kwenye Gari aina ya Toyota ''Pick-up'' lililokuwa likielekea Mjohe. Hali hii inahatarisha sana usalama wa maisha ya watu katika kusafiri kwa namna hii.

-Picha na Fadhili Akida.

No comments:

WATEMBELEAJI