Friday, February 11, 2011

KAZI YAKO NI JINA LAKO...AU UNABISHA??



KAZI YAKO NDIO JINA LAKO, au unabisha???....kwamfano mimi mchimba visima, ni mchimba visima tu! ndio jina langu. Wewe ni karani husema; yule Karani. Wewe Daktari, wewe nesi, wewe Waziri, wewe Rais, wewe mkulima nk. Tunaitwa na majina ya kazi zetu! KAZI YAKO NI JINA LAKO.

3 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Upo sahihi kabisa kaka. Kauli nzuri sana. "kazi yako ni jina lako" nimependa hii.

Anonymous said...

Ndio ni kweli,ila kunajina lingine linalipatikana ktk utendaji wa hiyo kazi mfano; FIDASI-huyu anaweza kuwa na kazi yoyote lakini utendaji wake ukamuongezea jina la cheo cha kazi yake.

Anonymous said...

Masahihisho, hapo juu ni neno FISADI sio FISASI

WATEMBELEAJI