Wednesday, February 23, 2011

NIMEKUTANA NA HABARI HII....NIMECHEKA KWELI!

Katika pitapita zangu kwenye mtandao, nikakutana na habari hii na nikacheka sana na kuipenda, inaongelea kuhusu katiba, sasa ni hivi;


MAONI KUHUSU KATIBA MPYA!

Je ni kitu gani ungependa kiwe kwenye katiba mpya?
Watu wafuatao wakajibu;

1). DEREVA; Ningependa Trafiki wasiwepo barabarani.

2). MWANAFUNZI; Ningependa mitihani isiwepo, baraza la mitihani lifutwe kabisa!

3). MFANYABIASHARA; Ningependa TRA itaifishwe kabisa! isiwepo kabisa!

- Je wewe ungependa nini???

No comments:

WATEMBELEAJI