Tuesday, February 28, 2012

KAWE DARAJANI....LEO ASUBUHI WAMEBANDUANA!


Mambo ya Jiji la Dar es salaam....a.k.a Bongo, kila siku lazima yatokee kama haya, hata uwe mwangalifu kupita kiasi....lakini wapo vichaa kama hawa wa Daladala lazima tu wakubandue!

- Picha na Mzee wa Jiachie, Michuzi Jr.

No comments:

WATEMBELEAJI