



Semina hiyo imeandaliwa kwa ushirikiano wa chama cha madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake Duniani na hapa nchini (AGOTA) kwa lengo la kupeana ujuzi na kubadilishana mbinu mbalimbali katika kukabiliana na magonjwa mbalimbali wanayo yapata wanawake wakati wa kujifungua.
1 comment:
Ok, thank you!
Post a Comment