Saturday, December 17, 2011

POMBE YA KIENYEJI YAUA WATU 162 NCHINI INDIA!

Watu 162 wamekufa baada ya kunywa pombe zinazotengenezwa kenyeji, ambapo inasadikiwa kuwa na sumu kali. Watu wengi wamekimbizwa katika Hospitali ya Diamond Harbour nchini humo, kwa matibabu hapo Jana - Ijumaa.
Baada ya kizaazaa hicho Polisi walivamia maeneo yanayotengeneza pombe hizo haramu na kuvunjavunja.











2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Duh pole zao...

Rachel Siwa said...

Inasikitisha sana,sasa hao polisi wamepajua baada ya maafa,Mungu awaponye walio hospitali.

WATEMBELEAJI