Thursday, December 8, 2011

UUZAJI WA NYANYA - JIJINI MWANZA - TANZANIA.



Wakazi wa Jiji la Mwanza wanaojishughulisha na kilimo cha mbogamboga, wakisafirisha matenga ya nyanya kwenda sokoni hivi karibuni, kama walivyonaswa na mpiga picha hii...kando kando ya barabara kuu ya Mwanza - Musoma.

Nyanya ni moja ya mazao muhimu sana katika matumizi ya kila siku majumbani mwetu!


- Picha na Mkuu Father Kidevu.



No comments:

WATEMBELEAJI