Sunday, February 27, 2011

JUMAPILI NJEMA SANA KWENU NINYI NYOTE WADAU WANGU!

MANENO MAZURI YA JUMAPILI HII;

Bwana alikuwa tegemeo langu, akanitoa akanipeleka panapo nafasi, akaniponya kwa kuwa alipendezwa nami.

Ee Mungu Mwenyezi, tunakuomba uyaongoze mambo ya ulimwengu huu yafuate utaratibu wako ili tuwe na amani; sisi wanao tupate furaha ya kukutumikia kwa utulivu.

No comments:

WATEMBELEAJI