Thursday, March 3, 2011

BABA WA TAIFA MWL.JKN....NA SPEECH YAKE!

Katika pitapita zangu, kupitia speech za Baba wa Taifa letu, hii niliipenda.....nitanukuu point chache alizozungumzia kuhusu sifa za Uongozi wa Taifa letu, wakati akihutubia mkutano mkuu wa CCM;

1). Watanzania wanahitaji mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM.

2). Watanzania wanahitaji kiongozi anayetambua matatizo yetu, na matatizo hayo yana mkera. Alitaja baadhi ya matatizo ni;

- RUSHWA.
- UMASKINI (Aliwakemea kuwa CCM siyo Chama cha Matajiri).
- UDINI.
- UKABILA, nk.
Je tunashughulikia vipi matatizo haya?

Kiongozi bora si yule anaye wapeleka watu wake pale anapotaka yeye wawepo.
-Wala kiongozi bora si yule anaye wapeleka watu wake pale wanapotaka wao wawepo.

Bali kiongozi bora ni yule anaye wapeleka watu pale wanapo stahili kuwepo.

No comments:

WATEMBELEAJI