Monday, November 7, 2011

KUHOJIWA BAADA YA MECHI YA TIMU YA CESENA NA MIMI NIKIWEMO!





Timu yetu ya Cesena mwaka huu inaenda vibaya sana katika Ligi kuu ya daraja la kwanza ya Italy aka (SERIE A). Msimamo wa Ligi tunashikiria mkia kwa kuwa na pointi 3 tu! mechi zilizochezwa ni 9, nadhani msimu huu tutashuka daraja. Hapa kwenye video hii mashabiki mbalimbali wakihojiwa baada ya mechi ya jana dhidi ya Timu ya Lecce, tulifungwa 1-o. Na mimi nikiwemo katika kuhojiwa, utaniona kuanzia dakika ya 7 ya video hii.

No comments:

WATEMBELEAJI