KAZI YAKO NI JINA LAKO
Thursday, January 12, 2012
WANAJESHI KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUKOJOLEA MAITI.
Wanajeshi wa Marekani wa Kitengo cha Marine Scout Sniper Team 4, watafikishwa Mahakamani baada ya kukiuka haki za Binadamu....kwa kukojolea maiti za maadui zao wa Talibani.
1 comment:
Yasinta Ngonyani
said...
Huu si ubinadamu kabisa hata wanyama tu hawafanyi hivi sasa sijui ni CHUKI au nini?
January 12, 2012 at 2:59 PM
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WATEMBELEAJI
Web Counters
1 comment:
Huu si ubinadamu kabisa hata wanyama tu hawafanyi hivi sasa sijui ni CHUKI au nini?
Post a Comment